| (Mabaunsa wa Wanahabari walikuwa makini kuhakikisa kuwa hakuna rabsha inayotokea) | 
| (Hata Kijijini watu waliweza kuchat wakiwa ndani ya mahema yao) | 
| (Tumekuwa tukikutana na wananchi wenye shida mbalimbali hasa akina mama) | 
| (Wengine walitumia fursa hii kutoa neno la Mungu wakati wa safari ya kurejea mjini) | 
| (Walilazimika kuvaa uhusika wa maisha ya watu wa Vijijini wanaofanya umachinga) | 
Duh lakini huo umbali ulioweka hapo naona umekosa sana tu...Chunya - Mbeya mjini ni km 3000? Please please please ....
ReplyDeleteSISI HATUKUWA CHUNYA TULIKUWA LUPA TINGATINGA AMBAYO IKO WILAYANI CHUNYA NI MPAKANI MWA WILAYA YA CHUNYA NA MKOA WA TABORA
ReplyDelete