| Bomba lipo lakini halitoi maji miaka 20 sasa | 
| Wananchi wanalazimika kunywa maji ya kisima kilichochimbwa kwenye chemichemi | 
| Matumizi ya maji hayo ni kunywa kuoshea vyombo na kupikia majumbani | 
| Watu wazima na watoto hutumia maji hayo bila kujali afya zao | 
| Hali ndio kama ilivyo watoto huogeshwa na wanafurahia maji hayo ambayo hutumiwa pia na wanyama kama vile Nguruwe na Ng'ombe | 
| Watoto huogeshwa maji kama yanavyoonekana hayana sifa ya kuoga bali kwa sababu ya a matatizo na shida hutumiwa hivyo hivyo | 
Post a Comment
Post a Comment