| ZIWA RUKWA LINAVYOONEKANA KWA SASA LIKIWA LIMEJAA TOPE | 
| ENEO KAVU AMBALO AWALI LILIKUWA ZIWA, ZIWA LIMEHAMA KWA UMBALI WA ZAIDI YA KILOMITA MOJA KUTOKANA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA | 
| MAKUNDI YA NG'OMBE YAKINYWA KATIKA ZIWA RUKWA, ZAIDI YA NG'OMBE LAKI 3 HUNYWA MAJI KATIKA ZIWA HILO KILA SIKU | 
| MTO MOMBA AMBAO ULIKUWA UKIINGIZA MAJI KATIKA ZIWA RUKWA UKIWA UMEKAUKA NA KUBAKI MFEREJI MKAVU | 
| BAADHI YA VIUMBE HAI KAMA VILE KASA NA KOBE WAKIWA WAMEKUFA KUTOKANA NA KUKAUKA KWA ZIWA RUKWA LILILOPO WILAYANI MOMBA MKOANI MBEYA | 
| ENEO KAVU LA ZIWA RUKWA | 
Post a Comment
Post a Comment