|  | 
| Mume wa marehemu Loveness Ndibalema, Ngemera Ndibalema akipita kwenye jeneza la mkewe wakati wa kuuaga mwili nyumbani kwake Forest jioni hii. | 
|  | 
| Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro pamoja na Mkewe wakiweka shada la maua juu ya kaburi la Mama Ndibalema leo jioni. | 
|  | 
| Watoto wa kiume wa Mama Ndibalema wakiwema shada la maua juu ya kaburi la mama yao | 
|  | 
| Mama Mzazi wa Mama Ndibalema akiweka shada la maua juu ya kaburi la mwanaye | 
|  | 
| Mchezaji wa timu ya Prison akiwakilisha wachezaji wenzake kuweka shada la maua juu ya kaburi la Mama Ndibalema. | 
|  | 
| Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya familia yake wakati wa maziko ya Mama Ndibalema. | 
|  | 
| Mtoto mkubwa wa marehemu Mama Ndibalema, Angela akiweka shada la maua kwenye kaburi la mama yake. | 
|  | 
| Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akiweka shada la maua juu ya kaburi la Mama Ndibalema leo jioni | 
|  | 
| Mchungaji wa kanisa la EAGT Athanas Kamili akiendesha ibada ya mazishi | 
|  | 
| Kiongozi wa Chama Cha Mapinduzi Charles Mwakipesile akiweka shada la maua kuwawakilisha CCM mkoa wa Mbeya. | 















Post a Comment
Post a Comment