 Waandishi Mbeya walivyotia aibu wakati wa ziara ya Dk. Slaa mkoani Mbeya, wagombeana mshiko
 Waandishi Mbeya walivyotia aibu wakati wa ziara ya Dk. Slaa mkoani Mbeya, wagombeana mshiko 
Kumezuka malumbano makali miongoni mwa wanahabari wa mkoa wa Mbeya 
wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk.Willbroard Slaa kufuatia 
waandishi wa habari wa magazeti ya xxxxxxxxxxx na Gazeti la xxxxxxxxxxkudaiwa 
kuweka kibindoni mshiko wa Sh.300,000 uliotolewa na viongozi wa chama 
hicho ili wagawane wanahabari wote walioshiriki ziara hiyo. Taarifa 
kutoka katika ziara hiyo zinadai kuwa Mwandishi wa Habari wa gazeti la xxxxxx aitwaye xxxxxx ndiye aliyekabidhiwa Sh.300,000 akiwa na Mwandishi wa Gazeti la xxxxxx aitwaye xxxxxx wakawagawie wenzao. Hata hivyo katika hali 
ya kushangaza waandishi hao wawili wakaamua kugawana wenyewe mshiko huo
 kitendo ambacho kimeudhi waandishi wengine.(NIMEIKUTA KULE JF!! )
 
Post a Comment