| BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA BW.ALPHONSO LENHARDT AKIZUNGUMZA MARA BAADA YA UZINDUZI WA MAABARA YA KIFUA KIKUU KATIKA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA | 
| BALOZI WA MAREKANI NCHINI BW. ALPHONSO LENHARDT AKIKATA UTEPE KUASHIRIA UZINDUZI WA MAABARA YA KIFUA KIKUU KATIKA HOSPITALI YA RUFAA JIJINI MBEYA | 
| BW.LENHARDT AKIFUNGUA PAZIA KUASHIRIA UZINDUZI WA MAABARA YA KISASA YA KIFUA KIKUU KATIKA HOSPITALI YA RUFAA JIJINI MEBYA | 
| BALOZI LENHARDT AKIANGALIA MOJA AYA MASHINE YA UTAFITI WA MAGONJWA YA KIFUA KIKUU KATIKA HOSPITALI YA RUFAA | 
| BAADHI YA WAUGUZI WA MAABARA YA KIFUA KIKUU KATIKA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA | 
| MKURUGENZI WA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA AKIISHUKURU SERIKALI YA MAREKANI KWA KUENDELA KUISADIA TANZANIA KATIKA HARAKATI ZA UTAFITI KWA MAGONJWA SUGU KAMA VILE KIFUA KIKUU, MALARIA NA UKIMWI | 
Post a Comment