|  | 
| Kuelekea shuleni | 
|  | 
| Ukiangalia kwa nje majengo yanavutia lakini ukiingia ndani yanatia aibu wanafunzi wanaketi sakafuni hakuna madawati | 
|  | 
| Shule ya Msingi Mbata kama inavyoonekana kwa mbali | 
|  | 
| Wanafunzi wa darasa la nne katika shule ya Msingi Mbata kata ya Ghana Jijini Mbeya wakiandika wakiwa sakafuni kutokana na uhaba wa madawati shuleni hapo | 
|  | 
| Hii ndiyo hali halisi ya wanafunzi katika shule ya Msingi Mbata kama walivyokutwa na mpiga picha wetu | 
|  | 
| Baadhi ya madarasa yalikuwa yamebomoka sakafu zake na hivyo kusababisha vumbi darasani kama inavyoonekana pichani | 






Wonderful blog! I found it while surfing around on Yahoo News. Do you have any suggestions on how to get listed in Yahoo News? I’ve been trying for a while but I never seem to get there! Appreciate it. secondary schools abuja
ReplyDelete