![]() |
| Baadhi ya mashabiki wakiigiza namna ambavyo wataiadhibu timu ya Simba katika mchezo unaotarajiwa kuchwezwa katika dimba la Sokoine Jijini Mbeya leo jioni. |
![]() |
| Mashabiki wa Mbeya City wakijimwaya mwaya kuashiria kushinda mechi ya leo baina ya timu yao na Simba |
![]() |
| Kama ilivyo ada kwa mechi kubwa kubwa machinga nao wakiwa katika harakati za kujipatia riziki ya kuuza jezi za timu mbalimbali wakati wa mechi za ligi kuu |
![]() |
| Mashabiki wakiwa wamejipanga foleni kwa ajili ya kuingia uwanjani muda huu |
![]() |
| Mashabiki wakiingia ndani ya uwanja wa Sokoine muda huu |
![]() |
| foleni kwa ajili ya kukata tiketi |






















Post a Comment
Post a Comment