|  | 
| Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akihutubia wananchi wa kata ya Maanga leo jioni | 
|  | 
| Wakati akiendelea na mkutano gari lililobeba askari wa kutuliza ghasia wakielekea lindoni lilikatisha katika mkutano wake na kuleta taharuki kwa wananchi | 
|  | 
| Sugu alitumia fursa hiyo ya kuzungumza na wananchi kuwasomea matumizi za miradi za mfuko wa Jimbo kiasi cha Sh. milioni 93 zilivyotumika kwa miradi mbalimbali ya Jiji la Mbeya. | 
|  | 
| Katibu Mwenezi wa CHADEMA Jiji la Mbeya Baraka Mwakyabula akizungumza kabla ya kuwakaribisha viongozi jukwaani. | 
|  | 
| Baadhi ya wananchi walioshiriki kusikiliza mkutano huo. | 
|  | 
| Mkufunzi wa mafunzo CHADEMA ni Msingi Nyanda za Juu Kusini Pascal Haonga akielekeza mipango madhubuti iliyofanikiwa juu ya CHADEMA NI MSINGI. | 
|  | 
| Baadhi ya wazee walijisogeza na mpongeza Mbunge wa Mbeya Mjini Sugu kwa hotuba yake. | 
|  | 
| Taarifa za miradi ya fedha za Mfuko wa Jimbo | 


















Post a Comment
Post a Comment