| Mkazi wa Rujewa akiangalia kupatwa kwa jua kwa kutumia mashine ya kuchomolewa vyuma'Welding' wakati wa kupatwa kwa jua leo mchana. | 
| Hivi ndivyo kupatwa kwa jua kulivyokuwa kukionekana kwa kupitia chujio maalum la kuchuja mionzi ya jua. | 
| Mkazi wa mjini Rujewa akiangalia kupatwa kwa jua kupitia miwani ya kuchujia mionzi ya jua leo asubuhi. | 
| Mkuu wa wilaya ya Mbarali Reuben Mfune akizungumza wakati wa kupatwa kwa jua mjini Rujewa wilayani Mbarali. | 
| Mbunge wa Mbarali Haroun Pirmohamed akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi wa Habari za Utalii na Uwekezaji Tanzania(TAJATI) Christopher Nyenyembe | 
| Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari wakishuhudia kupatwa kwa jua leo asubuhi | 
Post a Comment
Post a Comment