Ads (728x90)



''Wacha nikate kiu Bwana nani ananiona hapa kila mtu na time yake anafanya mambo yake ingekuwa kule uswahili nilikotokea du!!1 ingekuwa nongwa....wangesema mara ooohhh rais anakula hadharani, mara ooohh rais kafanya hivi mara hivi mara vile...namuonea huruma uncle wangu Raila Odinga kule kwetu mhhh cjui naye ataingia Ikulu kama mimi, lakini Babu mzee Jaramogi'aijitahidi weee wapi...nitajaribu kumsaidia uncle kipindi kijacho lazima naye aule hatuwezi kuwaachia hawa jamaaa!!!(JOKES) kama anafikiria hivi Rais Obama!!!!

Post a Comment