Ads (728x90)

Wakazi wa Ubaruku wakikongoroa baadhi ya vyuma vya Lori na kituo cha mafuta vilivyoteketezwa kwa moto na wananchi hao jana.
Mamia ya wakazi wa Ubaruku wakiwa katika maandamano wakitokea kuusindikiza mwili wa mtu aliyepigwa kwa risasi na askari polisi jana alasiri,katika tukio hilo wananchi alichoma moto gari na kituo cha mafuta.

Post a Comment