Mkurugenzi 
Mtendaji  wa Shirika lisilo la Kiserikali la Equality For 
Growth (EfG), Jane Magigita, akizungumza wakati wa kufunga mafunzo 
hayo.
Mkurugenzi 
Mtendaji  wa Shirika lisilo la Kiserikali la Equality For 
Growth (EfG), Jane Magigita, akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo.
 Kutoka kulia ni Mwakilirishi kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa 
Ilala, Doris Gweba, Diwani wa Kata ya Mchikichini Mhe.Riyani na Mgeni 
rasmi, Leopold Kaswezi.
Mgeni rasmi, 
Leopold Kaswezi (katikati), akizungumza na wahitimu hao. Kulia ni Diwani
 wa Kata ya Mchikichini, Mhe.Riyani na Mkurugenzi 
Mtendaji  wa Shirika lisilo la Kiserikali la Equality For 
Growth (EfG), Jane Magigita.
Mjumbe wa EfG, Emanuel Tuju akizungumza 
wakati akitoa shukurani kwa mgeni rasmi.
Mhitimu wa mafunzo hayo, Bakari 
 Yusuph kutoka soko la Feri, akikabidhiwa cheti chake na mgeni 
rasmi.
Mhitimu wa mafunzo 
hayo, Batreti Malemula kutoka soko la Feri, akikabidhiwa cheti chake na 
mgeni rasmi.
Mmoja wa wahitimu wa mafunzo 
hayo, Mwalimu Halima Kilimo kutoka soko la Buguruni kikabidhiwa cheti 
chake na mgeni rasmi.
Mhitimu wa mafunzo hayo, Mwalimu Chiku 
Hamisi kutoka soko la Buguruni, akionesha cheti chake kwa furaha baada 
ya kukabidhiwa.
Wahitimu wakiwa kwenye hafla hiyo.
Wahitimu wakiwa kwenye hafla hiyo.
Wahitimu wakifuatilia matukio ya ufungaji wa mafunzo yao.
Hapa ni sebene tu kwa kwenda mbele 
wakifurahia kumaliza mafunzo hayo. 'Mbona wanyanyasaji katika masoko 
watakoma safari hii,  wahitimu 25 sio mchezo ni vizuri 
wajisalimishe mapema chezea sheria wewe'.
Hapa ni mduara na vyeti ni juu lazima mvione.
Wahitimu ya mafunzo ya usaidizi wa sheria 
katika masoko ya Manispaa ya Ilala wakiwa katika picha ya pamoja na 
mgeni rasmi katika hafla ya kufunga mafunzo hayo ya siku 25, Mwanasheria
 wa Manispaa hiyo , Leopold Kaswezi (aliyevaa suti katikati waliokaa), 
aliyemwakilisha Mkurugenzi wa Manispaa hiyo na maofisa wa Shirika 
lisa.ilo la kiserikali la Equality for Growth (EfG), kwenye sherehe 
zilizofanyika Hoteli ya Lamada Dar es Salaam jana. 
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za 
jamii.com)
Post a Comment