Mama huyu mfanyabioashara wa nyanya katika moja ya miji hapa nchini akijikimu kwa kuuza nyanya na vitunguu katika mazingira ambayo kwa macho tu ya mtazamaji yanatia kichefuchefu, lakini kwa mujibu wa mama huyu ni kwamba eneo hili la biashara lina baraka za Halmashauri ya mji husika na wapo watoza ushuru maalumu ambao wanawajibika kutoa takataka eneo hilo.
Umati wa wananchi hukusanyika hapo kwa ajili ya kununua bidhaa katika mazingira hayo bila kujali athari za kiafya.
Mama huyu ni mtoza ushuru wa eneo hilo, hakuna anachoweza kueleza juu ya mrundikano wa uchafu katika soko hilo linalofanya kazi kila mwisho wa wiki ahata hiyo fursa ya kuweka maandalizi ya usafi siku moja kabla ya siku ya usafi nalo linashindikana.
Hata watoto nao hulazimika kujikita katika biashara katika mazingira haya ambao hujikusanyia senti kwa ajili ya matumizi ya shuleni.
Kila kona ya eneo hilo ni uchafu mtupu....jamaa hawaaoni hata aibu kwamba wananchi hawa wanasaidia katika kuongeza kipato ndani ya Halmashauri yao.
Bidhaa za matunda kama vile Maparachichi na nyinginezo ambazo ni marafiki wa INZI pia zipo katika soko hilo ambalo limezungukwa na uchafu kila kona......TAHADHARI CHUKUA HATUA!!!!!
Recent Posts
- Rashid Mkwinda03 Sep 2017NaViNjArI TaNzANiA- NILIPOTEMBELEA RAFIKI ZANGU WA KIMAASAI
Nipo na rafiki zangu jamii yaWamaasai tukibadilishana mawazo Nimetembelea rafiki zan...
- Rashid Mkwinda16 Aug 2017SOKO LA SIDO JIJINI MBEYA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO JANA USIKU
Eneo la Soko la SIDO jijini Mbeya lilivyokuwa likiteketea kwa moto jana usiku Sok...
- Rashid Mkwinda19 Jul 2017MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA MKE WA DKT MWAKYEMBE KYELA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mke wa Dkt Ha...
- Rashid Mkwinda18 Jul 2017MWILI WA MRS MWAKYEMBE WAWASILI MBEYA JIONI HII, MSAFARA KUELEKEA KYELA
Viongozi wa serikali wa mikoa ya Mbeya na Songwe mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla na Mkuu wa mk...
- Rashid Mkwinda16 Jul 2017RAIS DKT MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KIFO CHA MKE WA DKT. MWAKYEMBE
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
- Rashid Mkwinda30 Jan 2017GOLIKIPA DAVID BURHANI AFARIKI DUNIA
Aliyewahi kuwa Golikipa wa kutegemewa wa timu za Majimaji ya Songea,Prison na Mbeya Ci...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment