Ads (728x90)

Mwezeshaji Jessey Kwayu akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari kutoka mikoa sita ya Nyanda za Juu Kusini wakati wa majadiliano na waandishi wa habari juu ya changamoto za habari za uchunguzi na ukatili wa kijinsia
Baadhi ya wanahabari kutoka mikoa sita ya Nyanda za Juu Kusini wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro alipofungua mafunzo ya sioku nne juu ya uandishi wa habari za uchunguzi za ukatili wa kijinsia
Mwezeshaji kutoka chama cha Waandishi wa Habari Wanawake TAMWA Martha Ngwira akitoa ufafanuzi juu ya mafunzo kwa wanahabari juu ya Ukatili wa Kijinsia
Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakifuatilia kwa makini
Mwezeshaji Jessey Kwayu akifuatilia kwa makini mjadala wa wanahabari katika mafunzo ya uandishi wa habari zinazohusu ukatili wa Kijinsia
Baadhi ya Wanahabari wakifuatilia kwa makini mada inayotolewa juu ya Uandishi wa Habari za Uchunguzi kuhusu Ukatili wa Kijinsia

Post a Comment