![]() |
| Hili sio handaki ni shimo linalohifadhi maji machafu kutoka katika choo kilichopo uwanjani humo ambacho huhudumia watazamaji 20,000 |
![]() |
| Kumradhi wasomaji hii ndiyo hali halisi ya uwanja tusipofanya hivi hawawezi kuuboresha, tunachojiuliza mapato yanafanya kazi gani |
![]() |
| Hili sio jalala la taka bali ni moja ya eneo lililopo katika uwanja wa Sokoine. |
![]() |
| Dimba la Sokoine linavyoonekana katikati |
![]() |
| Hiki ndicho choo kinachotumika uwanjani |
![]() |
| Mifereji ya maji machafu inatiririka kila kukicha nje ya uwanja huo na kutishia afya ya wakazi waishio katika vyumba vya uwanja huo. |
![]() |
| Vipo pia vichaka ambavyo wahuni wanaweza kutumia kwa ajili ya kujificha kabla ya mechi |
![]() |
| Moja ya mageti ya kuingilia uwanjani upande wa mashariki ya uwanja |
![]() |
| Mashabiki wakiwa wameketi katika moja ya majukwaa ya uwanja huo baada ya kulipa viingilio |
![]() |
| Mashabiki wakishangilia moja kati ya mechi katika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya |
![]() |
| Sehemu ya umati wa watazamaji wanaoingia uwanjani kushuhudia mechi za Ligi kuu |
![]() |
| Umati wa watazamaji wanaoingia kwa ajili ya mechi kubwa katika uwanja huo |
![]() |
| Vitega uchumi vinavyouzunguka uwanja huo |
![]() |
| Lango kuu la kuingilia uwanjani ambalo hutumika pia kwa ajili ya magari |
![]() |
| Baadhi ya nyumba za biashara zinazozunguka uwanja ambazo ni sehemu ya mapato ya uwanja huo |
![]() |
| Shimo la maji machafu, mbele ni choo ambacho kinachokidhi watazamaji 20,000 wanaoingia uwanjani |























Post a Comment
Post a Comment