Haao, wameshindwa, watembeza mabakuli, kujikwamua na hili,
Haao,nini kisa cha kushindwa ilhali tuna mali na rasilimali,
Haao, waongoza kwa kubeza waongozwao ni sisi wenye duni hali,
Haao, watambuliwa kama mafisadi, wakimbiza kilicho chetu.
Haao, wako wapi waloshindwa, nchi kuiendesha, na kuishia magereza,
Haao, wangalimo katika uongozi,watumia majukwaa kuzungumza kingereza,
Haao, punde wataja kwenu, kuwaomba kura zenu wakatalieni na kuwabeza,
Haao si wema kwenu, ni mafisadi wa mali zenu hawana maana kwenu.
Haao twawataka wawajibishwe, kwa wananchi wajieleze,
Haao kwa pilato wafikishwe,ukweli waueleze,
Haao ni mafisadi dhahiri, hawapaswi kubembelezwa.
Haao wazomewe hawana maana kwetu na hata kwao wenyewe.
Wakatabahu
Recent Posts
- Rashid Mkwinda03 Sep 2017NaViNjArI TaNzANiA- NILIPOTEMBELEA RAFIKI ZANGU WA KIMAASAI
Nipo na rafiki zangu jamii yaWamaasai tukibadilishana mawazo Nimetembelea rafiki zan...
- Rashid Mkwinda16 Aug 2017SOKO LA SIDO JIJINI MBEYA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO JANA USIKU
Eneo la Soko la SIDO jijini Mbeya lilivyokuwa likiteketea kwa moto jana usiku Sok...
- Rashid Mkwinda19 Jul 2017MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA MKE WA DKT MWAKYEMBE KYELA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mke wa Dkt Ha...
- Rashid Mkwinda18 Jul 2017MWILI WA MRS MWAKYEMBE WAWASILI MBEYA JIONI HII, MSAFARA KUELEKEA KYELA
Viongozi wa serikali wa mikoa ya Mbeya na Songwe mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla na Mkuu wa mk...
- Rashid Mkwinda16 Jul 2017RAIS DKT MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KIFO CHA MKE WA DKT. MWAKYEMBE
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
- Rashid Mkwinda30 Jan 2017GOLIKIPA DAVID BURHANI AFARIKI DUNIA
Aliyewahi kuwa Golikipa wa kutegemewa wa timu za Majimaji ya Songea,Prison na Mbeya Ci...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Malenga,
ReplyDeleteZa siku? Nimepita kukusalimia. Kusalimiana kunajenga umoja.
Kazi njema sana kaka.
Shukrani kwa kunitembelea nashkuru sana ndugu yangu kazi njema nawengoja nipite kijijini kwako maana ni muda mrefu
ReplyDeleteShukrani kwa kunitembelea nashkuru sana ndugu yangu kazi njema nawengoja nipite kijijini kwako maana ni muda mrefu
ReplyDelete