Ads (728x90)

Hivi ndivyo alivyouawa Daudi Mwangosi picha namba moja akiwa ameshika kamera yake akitabasamu huku  akimfanyia mahoajiano kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Michael Kamuhanda, bila kujua ndani ya fikra za Kamuhanda kuna roho ya shetani ikimtuma kufanya mauaji siku hiyo.Picha namba mbili akiwa amezongwa na askari akipewa kichapo, picha namba tatu mwili wa marehemu ukiwa pembeni ya askari aliyejeruhiwa, picha namba nne askari wakitoweka baada ya kumuua Mwangosi, Picha namba sita askari wakiwa wanaondoka eneo la mauaji picha na,ba 7 mwili wa marehemu ukiwa umetelekezwa huku askari wakiwa wametoweka eneo hilo
Marehemu Mwangosi enzi za uhai wake (aliyeketi kulia) akiwa pamoja na Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt. Chritine Ishengoma, pamoja na wenyeviti wa klabu za waandishi wa habari wa mikoa ya Mbeya, Rukwa,Ruvuma, Lindi na Mtwara wakati wa semina ya sensa kwa waandishi wa habari mjini Iringa, picha hii niliipiga August 11 mwaka huu.
BAADHI YA WANAHABARI WAKISHIRIKI KUSHUSHA JENEZA LENYE MWILI WA MAREHEMU KATIKA MAKAZI YAKE YA KUDUMU
KATIBU MKUU WA CHADEMA DKT. WILBROAD SLAA AKISHIRIKI KATIKA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU KABLA YA KUZIKWA KIJIJINI KWAO BUSOKA ITETE RUNGWE
WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS KAZI MAALUMU NA MBUNGE WA JIMBO LA RUNGWE MASHARIKI PROF. MARK MWANDOSYA AKIWA NA MKEWE WAKATI WA MAZISHI YA DAUDI KULIA KWA PROF NI KATIBU MKUU WA CHADEMA DKT. SLAA
WANAHABARI WAKIWA NA JENEZA LENYE MWILI WA MWANGOSI
DKT SLAA AKITOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
MCHUNGAJI WA KANISA LA KILUTHERI USHARIKA WA BUSOKA MATHAYO MWANTAMANIE AKISOMA IBADA KABLA YA MAZIKO
PROF MWANDOSYA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WAKATI WAKATI WA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU MWANGOSI
DKT SLAA
MJANE WA MAREHEMU

Post a Comment