Ads (728x90)

MWILI WA BINADAMU UMEKUWA UKIKUMBWA NA MATATIZO YA MARA KWA MARA KILA SIKU KUTOKANA NA AINA YA VYAKULA VINAVYOLIWA AMBAPO ASILIMIA KUBWA WATU WAMEACHA KULA VYAKULA VYENYE VIRUTUBISHO VYA ASILI KAMA VILE MBOGAMBOGA NA MATUNDA HUKU WENGI WAKIPENDA KULA NYAMA HASA NYAMA NYEKUNDU.

KWA KUTUMIA MASHINE HII MAALUMU (DETOX MACHINE)UNAWEZA KUBAINI SUMU NYINGI INAYOTOKA KATIKA MWILI WAKO AMBAPO KWA TAKRIBANI DAKIKA 30 SEHEMU KUBWA YA SUMU ILIYOPO NDANI YA MWILI ITOKANAYO NA VYAKULA VINAVYOLIWA INAKUWA IMETOLEWA.

DKT. EMANUEL SHOO NI MTAALAMU NA MTUMIAJI WA MASHINE HII AMBAYE ANAZUNGUKA MAENEO MBALI MBALI NCHINI AKITOA HUDUMA KWA WANANCHI.

MGONJWA ANATAKIWA KUWEKA MIGUU YAKE NDANI YA DISHI LENYE MAJI SAFI AMBAPO NDANI YAKE KINAWEKWA KIFAA MAALUMU KINACHOUNGANISHWA NA MASHINE DETOX MACHINE.

KWA DAKIKA TANO ZA MWANZO KATIKA NYAYO ZA BINADAMU ZENYE ZAIDI YA MATUNDU ELFU MBILI SUMU INAANZA KUTOKA MWILINI NA MAJI YANAANZA KUBADILIKA KIDOGO KIDOGO KAMA YANAVYOONEKANA PICHANI

TARATIBU MAJI HAYO HUANZA KUBADILIKA RANGI SUMU IKIFYONZWA KUTOKA KATIKA MWILI WA BINADAMU.


MAJI YANAENDELEA KUBADILIKA KADRI DAKIKA ZINAVYOYOYOMA.

MGONJWA ANAANZA KUSIKIA MABADILIKO MWILI WAKE UKIANZA KUWA MWEPESI KADRI SUMU INAVYOENDELEA KUTOKA MWILINI MWAKE

HATUA KWA HATUA MAJI HUBADILIKA NA KUWEKA UKUNGU AMBAYO NI SUMU KUTOKA KATIKA MWILI WA BINADAMU KULINGANA NA ASILIMIA YA VYAKULA VINAVYOLIWA KILA SIKU.

KADRI MUDA UNAVYOSONGA MBELE NDIVYO AMBAVYO SUMU INATOKA KATIKA MWILI KULINGANA NA ASILIMIA ZA ULAJI, UNYWAJI NA UVUTAJI.


HIVI NDIVYO SUMU INAVYOENDELEA KUTOKA KATIKA MWILI WA BINADAMU NA MAJI HUBADILIKA NA KUWA KAMA GRISI CHAFU, HII NI SUMU ILIYOMO KATIKA MWILI WA BINADAMU.

DAKIKA 30 KIWANGO CHA SUMU KILICHOPO MWILINI KINAONEKANA KAMA MAJI HAYO YANAVYOONEKANA KUBADILIKA RANGI NA KUWA MACHAFU


DKT. SHOO AKIMSAFISHA MGONJWA MIGUU YAKE MARA BADA YA KUMALZA TIBA AMBAPO BAADA YA HAPO MGONJWA ANAJISIKIA MWILI MWEPESI, AIDHA INASHAURIWA MGONJWA MWENYE UJAUZITO HATAKIWI KUTUMIA MASHINE HII KWA KUWA INAHARIBU MIMBA.MATATIZO AMBAYO MGONJWA ANAKUMBANA NAYO KUTOKANA NA KUKITHIRI KWA SUMU MWILINI NI PAMOJA NA UCHOVU, KUKOSA HAMU YA KULA,SHINIKIZO LA DAMU,VIDONDA VYA TUMBO, MAUMIVU YA MGONGO AMBAPO ULAJI USIOFUATA TARATIBU BALANCED DIET, UVUTAJI WA  SIGARA NA UNYWAJI WA POMBE KUPITA KIASI KIASI  UNAWEZA KUSABABISHA MADHARA YA ONGEZEKO LA SUMU MWILINI. 

Post a Comment