Ads (728x90)


SIKU zote tumezoea kuona namna ambavyo waafrika hasa Watanzania wakiiga mavazi ya ulaya,hili limekuwa ni kinyume cha raia huyu wa kigeni ambaye amekuwa ni kivutio cha aina yake alipokuwa mitaani jijini Mbeya, amethamini chetu kwa kuvaa mavazi ya kabila la Kimasai, ni muhimu nasi tukathamini vyetu.

Post a Comment