Ads (728x90)

Bomba lipo lakini halitoi maji miaka 20 sasa
Wananchi wanalazimika kunywa maji ya kisima kilichochimbwa kwenye chemichemi
Matumizi ya maji hayo ni kunywa kuoshea vyombo na kupikia majumbani
Watu wazima na watoto hutumia maji hayo bila kujali afya zao
Hali ndio kama ilivyo watoto huogeshwa na wanafurahia maji hayo ambayo hutumiwa pia na wanyama kama vile Nguruwe na Ng'ombe

Watoto huogeshwa maji kama yanavyoonekana hayana sifa ya kuoga bali kwa sababu ya a matatizo na shida hutumiwa hivyo hivyo

Post a Comment