Ads (728x90)

Mkuu wa wilaya ya Rungwe Chrispin Meela akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuapishwa Ikulu ndogo Jijini Mbeya
Meela na Wanahabari Ikulu ndogo Jijini Mbeya
Waalikwa wakati wa kuapishwa wakuu wa wilaya Ikulu ndogo Jijini Mbeya
Jamaa na marafiki wa Mkuu wa wilaya ya Ileje wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Mbeya
Zawadi na taji hazikukosekana wakati wa kumpongeza Mkuu wa wilaya Ileje leo asubuhi

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa wilaya ya Mbarali mara baada ya kumuapisha
Picha ya pamoja na familia ya Mkuu wa wilaya ya Rungwe Bw. Chrispin Meela
Mkuu wa wilaya ya Momba Bw. Abihudi Saidea akipokea zana za kufanyia kazi kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Mbeya Bw. Abbas Kandoro mara bada ya kumuapisha leo asubuhi

Post a Comment