Ads (728x90)

RAIS KIKWETE AKIKATA UTEPE KUASHIRIA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI SAFI ENEO LA SWAYA NJE KIDOGO YA JIJI LA MBEYA


RAIS KIKWETE AKIHUTUBIA WANANCHI WA MBEYA KATIKA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA 




KAMISHNA WA UMOJA WA ULAYA KITENGO CHA MAENDELEO  ANDRIS PIEBALGS AKISALIMIANA NA WAKAZI WA SWAYA MBEYA MARA BAADA YA KUWASILI ENENO LA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI SAFI











 Rais  Jakaya Kikwete akiwasili eneo la Swaya kwa ajili ya uzinduzi wa Mradi wa maji safi 

 Rais Kikwete akisalimiana na Baadhi ya watu wanao husika na Mradi eneo hilo 




 Muda Mchache baada ya Ndege ya Rais Kuwasili katika uwanja wa kimatiafa wa Songwe Mbeya 
 Umati wa watu ukimngojea Mh. Rais Jakaya Kikwete 
 Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anashuka kwenye ndege 
 Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na madiwani 
 Rais Dr Jakaya Kikwete akiwa anapita kati kati ya watoto skaut
 Rais Dr. Jakaya Kikwete akiendelea kusalimiana na waheshimiwa Madiwani

 Rais Dr Jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi katika uwanja wa Kimataifa wa Songwe Mbeya 
Rais Jakaya Kikwete akivishwa Skafu mara baada ya kutua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Kimataifa wa Songwe(SIA)


Hivi ndivyo uwanja wa Kimataifa wa Songwe (SIA)unavyo onekana kwa sasa
Picha kwa hisani ya Mbeya Blog



Post a Comment