Ads (728x90)

Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe akkihutubia wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake hivi karibuni

Baadhi ya vijana wa vikosi vya Ulinzi na Usalama wa CHADEMA(Red Brigade)wapatao 360 wakila kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe katika ofisi ya kanda ya chama hicho Jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.

Post a Comment