Ads (728x90)

Wahandisi wa  Wakala wa Barabara TANROAD mikoa ya Mbeya na Rukwa wakipewa maelekezo ya kitaalamu kutoka kwa Mhandisi wa Madaraja  Eng. Thomas Crowe wa kampuni ya Nicholas O'Dwyer  juu ya ujenzi wa daraja la kipekee lililopo Kaengesa kilomita 30 kutokla Sumbawanga mjini


Eng. Thomas Crow akiwapa maelezo wahandisi wa TANROAD wa Mbeya na Rukwa juu ya maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kaengesa






Daraja la Kaengesa lililopo km 30 kabla ya Sumbwanga mjini likiendelea kutengenezwa na kampuni ya Nicholas O' Dweyer


Mafundi wakiendelea na ujenzi wa daraja la Kaengesa


Post a Comment