
Ni kisiwa kidogo lakini kilichobeba umaarufu wa aina yake Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla,ni miongoni mwa miji mikongwe iliyoasisi ustaarabu kabla ya kungia kwa wakoloni wa kijerumani na hata waingereza enzi hizo ikiwa chini ya utawala wa Sultani Seyyid Bin Sayyid.Aidha utawala huo pamoja na kuleta ustaarabu uligubikwa udhalili kwa wakazi wa miji ya Afrika ambao waliuzwa kama watumwa na kupelekwa nje ya nchi kutumikishwa kazi za sulubu.
Post a Comment