OFISI YA KAMANDA WA POLISI WILAYANI MBOZI OCD IMETEKETEZWA KWA MOTO NA WATU WASIO FAHAMIKA MWISHONI MWA WIKI ILIYOPITA AMBAPO NYARAKA MUHIMU ZILIZOMO NDANI YA KOMPYUTA NA ZILE ZILIZOHIFADHIWA KATIKA MAFAILI ZIKIWA NI KATI YA ZILIZOHARIBIWA KWA MOTO.
TAARIFA RASMI ZA KUTEKETEZWA KWA NYARAKA HIZO ZILIUFIKIA MTANDAO HUU AMBAPO MTOA TAARIFA ALIDAI KUWA ZIPO BAADHI YA NYARAKA MUHIMU ZA KIUTENDAJI ZIKIWEMO ZINAZOHUSU KESI MBALIMBALI ZILIZOPO KATIKA HATUA YA AWALI YA UPELELEZI AMBAZO ZIMETEKETEA KWA MOTO.
HATA HIVYO MOTO HUO ULIONEKANA ZAIDI KUSHAMBULIA NYARAKA HUKU JENGO LA OFISI HIYO YA OCD IKIONEKANA KUTOATHIRIWA NA MOTO HUO.
Recent Posts
- Rashid Mkwinda03 Sep 2017NaViNjArI TaNzANiA- NILIPOTEMBELEA RAFIKI ZANGU WA KIMAASAI
Nipo na rafiki zangu jamii yaWamaasai tukibadilishana mawazo Nimetembelea rafiki zan...
- Rashid Mkwinda16 Aug 2017SOKO LA SIDO JIJINI MBEYA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO JANA USIKU
Eneo la Soko la SIDO jijini Mbeya lilivyokuwa likiteketea kwa moto jana usiku Sok...
- Rashid Mkwinda19 Jul 2017MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA MKE WA DKT MWAKYEMBE KYELA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mke wa Dkt Ha...
- Rashid Mkwinda18 Jul 2017MWILI WA MRS MWAKYEMBE WAWASILI MBEYA JIONI HII, MSAFARA KUELEKEA KYELA
Viongozi wa serikali wa mikoa ya Mbeya na Songwe mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla na Mkuu wa mk...
- Rashid Mkwinda16 Jul 2017RAIS DKT MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KIFO CHA MKE WA DKT. MWAKYEMBE
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
- Rashid Mkwinda30 Jan 2017GOLIKIPA DAVID BURHANI AFARIKI DUNIA
Aliyewahi kuwa Golikipa wa kutegemewa wa timu za Majimaji ya Songea,Prison na Mbeya Ci...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment