Ads (728x90)

ZIWA RUKWA LINAVYOONEKANA KWA SASA LIKIWA LIMEJAA TOPE
ENEO KAVU AMBALO AWALI LILIKUWA ZIWA, ZIWA LIMEHAMA KWA UMBALI WA ZAIDI YA KILOMITA MOJA KUTOKANA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA

MAKUNDI YA NG'OMBE YAKINYWA KATIKA ZIWA RUKWA, ZAIDI YA NG'OMBE LAKI 3 HUNYWA MAJI KATIKA ZIWA HILO KILA SIKU
MTO MOMBA AMBAO ULIKUWA UKIINGIZA MAJI KATIKA ZIWA RUKWA UKIWA UMEKAUKA NA KUBAKI MFEREJI MKAVU
BAADHI YA VIUMBE HAI KAMA VILE KASA NA KOBE WAKIWA WAMEKUFA KUTOKANA NA KUKAUKA KWA ZIWA RUKWA LILILOPO WILAYANI MOMBA MKOANI MBEYA
ENEO KAVU LA ZIWA RUKWA

Post a Comment