Ads (728x90)

Pichani Shule zetu - Usafi chooni inashindikana?



Choo cha shule ya msingi Lipangala, huko sehemu mojawapo ya Ludewa. Nashangaa hata kusafisha eneo linalozunguka choo ni:
  • Mbunge achangie?
  • Serikali ipangie bajeti?
  • Wazazi wachangie?
  • Walimu wahimizwe?
  • Kaka Mkuu na Dada Mkuu wa shule hawana akili timamu?
  • Elimu ya maisha na kujitegemea mashuleni imesitishwa?

​Kama mambo hayo hayahitajiki kwa nini kusiwe na taratibu za wanafunzi kufanya usafi wa mazingira yao? Nahofia hapa ipo siku nyoka atakanyagwa mkia kisha kumng'ata mguu mwanafunzi.(source jamiiforums)

Post a Comment