Ads (728x90)

Bloga  mahiri wa nchini na nje ya nchi wakivinjari katika mitaa ya Jiji la Mbeya, kutoka kushoto ni Fred Njeje kutoka nchini Malasya anachukua kozi yake ya IT ambaye ni mdau mkubwa wa Mbeya yetu Blog na Tone Radio ya Mbeya yetu (katikati ni Rashid Mkwinda kutoka blog ya Mwanafasihi na Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu Blog

Jose Mwaisango na Fedy Njeje kutoka Mbeya yetu blog na Tone radio na Rashid Mkwinda kutoka Mwanafasihi Blog

Fredy Njeje,Rashid Mkwinda na Jose Mwaisango wakivinjari katikati ya jiji la Mbeya

Post a Comment