Ads (728x90)

Default Waandishi Mbeya walivyotia aibu wakati wa ziara ya Dk. Slaa mkoani Mbeya, wagombeana mshiko

Kumezuka malumbano makali miongoni mwa wanahabari wa mkoa wa Mbeya wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk.Willbroard Slaa kufuatia waandishi wa habari wa magazeti ya xxxxxxxxxxx na Gazeti la xxxxxxxxxxkudaiwa kuweka kibindoni mshiko wa Sh.300,000 uliotolewa na viongozi wa chama hicho ili wagawane wanahabari wote walioshiriki ziara hiyo. Taarifa kutoka katika ziara hiyo zinadai kuwa Mwandishi wa Habari wa gazeti la xxxxxx aitwaye xxxxxx ndiye aliyekabidhiwa Sh.300,000 akiwa na Mwandishi wa Gazeti la xxxxxx aitwaye xxxxxx wakawagawie wenzao. Hata hivyo katika hali ya kushangaza waandishi hao wawili wakaamua kugawana wenyewe mshiko huo kitendo ambacho kimeudhi waandishi wengine.(NIMEIKUTA KULE JF!! )

Post a Comment