Ads (728x90)

                                                                                                                                                            
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Levison Chillewa akihesabu fedhab kwa aj zilizochangwa papo kwa papo kwa ajili ya kuokoa wanafunzi waliokosa kujiunga na sekondari mwaka huu, jumla ya shilingi  milioni 1 zilichangwa papo hapo,(kulia) ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mbozi Helick Minga                          

Askari Polisi wa mjini Vwawa akiwa na baadhi ya maofisa wa polisi wilaya ya Mbozi PC Matoke akiwa tayari kwa kupiga fataki majira ya saa sita kasoro dakika moja wakati wa hafla ya kuukaribisha mwaka mpya 2012na kuuaga mwaka

Mkuu wa wilaya ya Mbozi Gabriel Kimolo akiongoza ufunguzi wa muziki katika hafla ya kuuaga mwaka 2011 na kuukaribisha mwaka 2012 na kuuaga mwaka 2011 katika ukumbi wa Shimoni Village mjini Vwawa

Post a Comment