Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bw.Makelele akizungumza na madiwani na watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Chunya.
![]() |
Baadhi ya wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya wakifuatilia kwa makini taarifa ya mkaguzi wa nje na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiwa na Mkuu wa wilaya ya Chunya wakati akiingia katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo kujadili mapato na matumizi |
![]() |
Madiwani wa wilaya ya Chunya wakiwa wamesimama ukumbini kuashiria kuingia kwa Mkuu wa mkoa ndani ya Ukumbi wa halmashauri kwa ajili ya kikao kinachoendelea hivi sasa |
![]() |
Madiwani wa Chunya wakifuatilia hatua kwa hatua kalabrasha la mapato na matumizi la halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2011-12 |
![]() |
Mwenyekiti wa halmashauri ya Chunya Bw.Makelele akisisitiza jambo katika kikao kinachoendelea sasa kwenye ukkumbi wa mikutano wa Halmashauri |
![]() |
Baadhi ya Madiwani na watendaji wa Halmashauri ya Chunya |
![]() |
Mkaguzi wa nje Jane Mwihanga akipitia kalabrasha kurasa kwa kurasa katika kikao cha halmashauri ya Chunya kinachoendelea muda huu |
Post a Comment