| Picha Uwanja wa Sokoine wakati wa matengezo baada ya TFF kufungia viwanja hivyo kutokana na kutokidhi viwango. |
| Hivi ndivyo ulivyokuwa ukiaonekana baada ya kuondolewa nyasi zote za awali. |
| Matambo wa kusindilia uwanja ukiendelea na shughuli za markebisho ya uwanja huo |
| Shughuli za marekebisho ya uwanja huo ikiendelea kabla ya kukamilika |
![]() |
| Hatimaye uwanja ukakamilika na kuwa katika hali hii nadhifu inayoonekana hata hivyo mechi za ligi Kuu zimesogezwa mbele ili kuacha nafasi ya majani yaliyopandwa kushikana vyema na ardhi. |
![]() |
| Hivi ndivyo Dimba la Sokoine linavyoonekana kwa sasa. |
![]() |
| Baadhi ya vibarua wakimalizia kung'oa nyasi zisizostahili ambazo zimeota pamoja na nyasi mpya katika uwanja wa Sokoine kama wanavyoonekana pichani |
![]() |
| Dimba la Sokoine Jijini Mbeya linavyoonekana kwa sasa. |








Post a Comment