Ads (728x90)

Picha Uwanja wa Sokoine wakati wa matengezo baada ya TFF kufungia viwanja hivyo kutokana na kutokidhi viwango.

Hivi ndivyo ulivyokuwa ukiaonekana baada ya kuondolewa nyasi zote za awali.
Matambo wa kusindilia uwanja ukiendelea na shughuli za markebisho ya uwanja huo

Shughuli za marekebisho ya uwanja huo ikiendelea kabla ya kukamilika


Hatimaye uwanja ukakamilika na kuwa katika hali hii nadhifu inayoonekana hata hivyo mechi za ligi Kuu zimesogezwa mbele ili kuacha nafasi ya majani yaliyopandwa kushikana vyema na ardhi.
Hivi ndivyo Dimba la Sokoine linavyoonekana kwa sasa.


Baadhi ya vibarua wakimalizia kung'oa nyasi zisizostahili ambazo zimeota pamoja na nyasi mpya katika uwanja wa Sokoine kama wanavyoonekana pichani



Dimba la Sokoine Jijini Mbeya linavyoonekana kwa sasa.

Post a Comment