Ads (728x90)

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla akipokea mfano wa hundi ya sh..mil 10 kwa ajili ya mchango wa madawati mkoani Mbeya


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla akitoa neno la shukurani baada ya kupokea msaada wa fedha sh.mil 10 kutoka kwa Benki ya TIB

Mkurugenzi Mtendaji wa TIB Corporate Bank Frank Nyabundege akipena mkono na Katibu Tawala mkoa wa Mbeya Mariam Mtunguja mara baada ya kukabidhi msaada wa hundi ya sh. mil 10 kwa ajili ya madawati mkoani Mbeya, katikati ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa TIB Corparate Bank Frank Nyabundege mara baada ya kumkabidhi hundi ya Sh.mil 10 kwa ajili ya madawati mkoani Mbeya

Post a Comment