![]() |
| Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akihutubia wananchi wa kata ya Maanga leo jioni |
![]() |
| Wakati akiendelea na mkutano gari lililobeba askari wa kutuliza ghasia wakielekea lindoni lilikatisha katika mkutano wake na kuleta taharuki kwa wananchi |
![]() |
| Sugu alitumia fursa hiyo ya kuzungumza na wananchi kuwasomea matumizi za miradi za mfuko wa Jimbo kiasi cha Sh. milioni 93 zilivyotumika kwa miradi mbalimbali ya Jiji la Mbeya. |
![]() |
| Katibu Mwenezi wa CHADEMA Jiji la Mbeya Baraka Mwakyabula akizungumza kabla ya kuwakaribisha viongozi jukwaani. |
![]() |
| Baadhi ya wananchi walioshiriki kusikiliza mkutano huo. |
![]() |
| Mkufunzi wa mafunzo CHADEMA ni Msingi Nyanda za Juu Kusini Pascal Haonga akielekeza mipango madhubuti iliyofanikiwa juu ya CHADEMA NI MSINGI. |
![]() |
| Baadhi ya wazee walijisogeza na mpongeza Mbunge wa Mbeya Mjini Sugu kwa hotuba yake. |
![]() |
| Taarifa za miradi ya fedha za Mfuko wa Jimbo |


























Post a Comment