Ads (728x90)

Uwanja wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane, Uyole Jijini Mbeya

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akipata maelezo ya utendaji katika banda la Shirika la Hifadhi ya Taifa NANE NANE jijini Mbeya


Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas KADORO akiijaribu moja ya silaha zinazokamatwa na askari wa TANAPA kutoka kwa majangiri wanaovamia hifadhi na kuua wanyama por Kandoro alitembelea banda la maonesho la TANAPA leo mchana.

Mkuu wa MKOA wa Mbeya Abbas KANDORO akitia saini kitabu cha wageni mara baada ya kumaliza kutembelea banda la TANAPA kwenye maonesho ya NANE NANE leo mchana.

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiwa amestarehe katika banda la makaribisho lililotengenezwa kwa mianzi la Jeshi la MAGEREZA alipowasili kwenye banda la MAGEREZA leo mchana.

Banda la mapumziko lililotengenezwa kwa mianzi lililojengwa  na Jeshi la Magereza kwenye uwanja wa maonesho ya Kilimo Nane Nane.
Mazungumzo kati ya maofisa wa Magereza na Mkuu wa Mkoa yakiendelea katika banda lililotengenezwa kwa mianzi katika banda la Maonesho la Magereza kwenye maonesho ya kilimo Nane NANE
 

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiangalia  moja ya ghala la kuhifadhia chakula ambalo limetengenezwa kwa mtindo wa kizamani.

Mkuu wa Mkoa wa MBEYA Kandoro akiangalia mmea wa zao la kitunguu namna ambavyo kimestawishwa kwenye shjamba darasa la Jeshi la Magereza, Uwanja wa NANE NANE.


Mkuu wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya Julius Sang'undi akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro alipotembelewa katika banda la Magereza lililopo uwanja wa maonesho ya kilimo Nane Nane jijini Mbeya leo mchana.

Post a Comment