Ads (728x90)

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akizungumza na wakuu wa Idara na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kabla ya kupitia taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali wilayani humo
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bw.Makelele akizungumza na madiwani na watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Chunya.
Diwani wa Kata ya Mbangala Abrahamu Sambila akitoa neno la shukurani kwa Mkuu wa mkoa wa Mbeya baada ya kumaliza nasaha zake kwa watendaji wa halmashauri na madiwani juu ya usimamizi wa fedha za serikali katika miradi ya maendeleo
Baadhi ya wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya wakifuatilia kwa makini taarifa ya mkaguzi wa nje na  mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiwa na Mkuu wa wilaya ya Chunya wakati akiingia katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo kujadili mapato na matumizi

Madiwani wa wilaya ya Chunya wakiwa wamesimama ukumbini kuashiria kuingia kwa Mkuu wa mkoa ndani ya Ukumbi wa halmashauri kwa ajili ya kikao kinachoendelea hivi sasa


Madiwani wa Chunya wakifuatilia hatua kwa hatua kalabrasha la mapato na matumizi la halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2011-12

Mwenyekiti wa halmashauri ya Chunya Bw.Makelele akisisitiza jambo katika kikao kinachoendelea sasa kwenye ukkumbi wa mikutano wa Halmashauri


Baadhi ya Madiwani na watendaji wa Halmashauri ya Chunya

Mkaguzi wa nje Jane Mwihanga akipitia kalabrasha kurasa kwa kurasa katika kikao cha halmashauri ya Chunya kinachoendelea muda huu







Post a Comment