Ads (728x90)

Kuelekea shuleni
Ukiangalia kwa nje majengo yanavutia lakini ukiingia ndani yanatia aibu wanafunzi wanaketi sakafuni hakuna madawati

Shule ya Msingi Mbata kama inavyoonekana kwa mbali

Wanafunzi wa darasa la nne katika shule ya Msingi Mbata kata ya Ghana Jijini Mbeya wakiandika wakiwa sakafuni kutokana na uhaba wa madawati shuleni hapo

Hii ndiyo hali halisi ya wanafunzi katika shule ya Msingi Mbata kama walivyokutwa na mpiga picha wetu

Baadhi ya madarasa yalikuwa yamebomoka sakafu zake na hivyo kusababisha vumbi darasani kama inavyoonekana pichani





Post a Comment

  1. Wonderful blog! I found it while surfing around on Yahoo News. Do you have any suggestions on how to get listed in Yahoo News? I’ve been trying for a while but I never seem to get there! Appreciate it. secondary schools abuja

    ReplyDelete