Ads (728x90)

Bweni la wasichana Shule ya Sekondari Chitete ambako Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro alipotembelea hivi karibuni
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro alipotembelea shule ya Sekondari ya Chitete iliyopo wilayani Momba mkoani Mbeya

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kanodro akisisitiza jambo alipotembelea shule ya Sekondari Chitete wilayani Momba hivi karibuni
Kandoro akipata maelezo kutoka kwa mwanafunzi wa shule ya Sekondari Chitete katika chumba cha Maabara (PICHA NA MAELEZO NA SHOMI MTAKI- TUNDUMA)

Post a Comment