Ads (728x90)


Baadhi ya mashabiki wakiigiza namna ambavyo wataiadhibu timu ya Simba katika mchezo unaotarajiwa kuchwezwa katika dimba la Sokoine Jijini Mbeya leo jioni.

Mashabiki wa Mbeya City wakijimwaya mwaya kuashiria kushinda mechi ya leo baina ya timu yao na Simba








Kama ilivyo ada kwa mechi kubwa kubwa machinga nao wakiwa katika harakati za kujipatia riziki ya kuuza jezi za timu mbalimbali wakati wa mechi za ligi kuu

Mashabiki wakiwa wamejipanga foleni kwa ajili ya kuingia uwanjani muda huu

Mashabiki wakiingia ndani ya uwanja wa Sokoine muda huu









foleni kwa ajili ya kukata tiketi



Post a Comment