Ads (728x90)

Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Mariam Mtunguja akizungumza na Waadhishi wa Habari hawapo pichani Juu ya Tahadhari ya Ugonjwa wa Dengue ofisini kwake leo asubuhi.
 
 
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya mkoa wa Mbeya Dkt. Gloria Mbwile akitoa taarifa za tahadhari juu ya Ugonjwa wa Dengue kwa waaandishi wa habari kwenye Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya(katikati ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya Mariamu Mtunguja(kulia) ni Katibu wa Afya Mkoa Juliana Mawala.

Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Mariam Mtunguja akiwa pamoja na Mganga Mfawidhi wa Mkoa wa Mbeya Dkt.Gloria Mbwile(kulia) na Katibu wa Afya Mkoa Juliana Mawala wakati wa kutoa taarifa za tahadhari za ugonjwa wa DENGUE mkoani Mbeya

Baadhi ya Waandishi wa Habari mkoa wa Mbeya wakifuatilia kwa makini taarifa ya tahadhari ya Ugonjwa wa Dengue

Baadhi ya Waandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya



Katibu Tawala wa  Mkoa wa Mbeya Mariamu Mtunguja



Post a Comment