Meneja Usambazaji wa Kampuni ya Coca Cola Kanda ya Mbeya Emmanuel Bunyoga akizungumzia ufadhili wa kampuni hiyo kwenye mashindano ya Mastala Cup. |
![]() |
![]() |
Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Mastala Cup, Brandy Nelson akielezea mkakati wa mashindano hayo. |
![]() |
Baadhi ya waandishi wa habari walioshiriki kikao kati ya Uongozi wa Kampuni ya vinywaji vya Cocacola na waratibu wa mashindano wakijitambulisha. |
![]() |
Ratiba ya Mashindano ya Ligi ya Mastala Cup |
Post a Comment