Ads (728x90)

ANKAL Michuzi akiwa na Prof John Nkoma  DG/TCRA na Innocent Mungy MCC/TCRA wakati wa mapumziko mafupi kwenye mafunzo mafupi ya Blogers wa Tanzania

CEO wa Jamii Forum Mike Mushi akifafanua jambo wakati wa mafunzo kwa Blogers wa Tanzania kwenye Ukumbi wa TCRA jijini Dar es salaam leo asubuhi

Prof John Nkoma akielezea umuhimu wa Blogers kujitambua na kufanya kazi kwa weledi wakati wa mafunzo kwa Blogers jijini Dar leo asubuhi

Mwandishi Mkuu wa Mbeya Yetu Blogu Joseph Mwaisango akielezea uzoefu wake katika mitandao ya Kijamii na changamoto anazokutana nazo

Mwandishi wa Blogu hii Rashid Mkwinda akielezea changamoto na mafanikio aliyokutana nayo katika kazi za uandishi wa Blogu

Mwezeshaji wa mafunzo kwa Blogers Liz Wachuka akitoa ufafanuzi namna ya kupata Viewers kupitia mtandao wa Google


Baadhi ya Blogers kutoka maeneo mbalimbali nchini wakiwasili katika ukumbi wa TCRA



Blogers kutoka Tone Media Group walikuwa watu wa mwanzo kuwasili katika darasa

Baadhi ya Waandishi wa habari na Blogers waliohudhuria uzinduzi wa mafunzo ya Blogers Jijini Dar leo asubuhi



Post a Comment