Ads (728x90)

Mke wa maarehemu Emmanuel Mbuza akiongozwa kuweka shada la maua katika kaburi la mumewe


Kaka wa marehemu Emmanuel Mbuza, Oscar Mbuza akiongoza ndugu zake kuweka shada la maua katika kaburi la ndugu yake kwenye makaburi ya familia eneo la Kalobe Jijini Mbeya

 
 






 
 
 



Umoja wa Vijana wa CCM wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Mbuza ambaye alikuwa ni Katibu Uenezi na Itikadi wa CCM Jiji la Mbeya




 
 



 





 

  

 
Mmoja wa wanafunzi wa shule ya Msingi Umoja akimkabidhi bahasha ya rambirambi mtoto wa marehemu Mbuza, Chrisprin Mbuza



Mtoto Chrisprin Mbuza akimbebeleza dada yake Carren baada ya wanafunzi wenzao wa shule ya Msingi Umoja kuja kuwapa mkono wa rambirambi wakati wa kuuaga mwili wa baba yao Emmanuel Mbuza

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Sambwee Shitambala akimkabidhi rambirambi kaka wa marehemu Leonard Mbuza.

Mwandishi wa habari na Mwenyekiti mstaafu wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Mbeya Christopher Nyenyembe akitoa heshima mbele ya mwili wa Mbuza.






  


Post a Comment